Kielezo cha Fasili (inbunden)
Format
Häftad (Paperback / softback)
Språk
Swahili
Antal sidor
102
Utgivningsdatum
2015-05-13
Upplaga
2nd ed.
Förlag
Mkuki na Nyota Publishers
Illustrationer
Black & white illustrations
Dimensioner
210 x 140 x 6 mm
Vikt
136 g
Antal komponenter
1
Komponenter
541:B&W 5.5 x 8.25 in or 210 x 140 mm Perfect Bound on Creme w/Matte Lam
ISBN
9789973973153

Kielezo cha Fasili

Häftad,  Swahili, 2015-05-13
353
  • Skickas från oss inom 7-10 vardagar.
  • Fri frakt över 249 kr för privatkunder i Sverige.
Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovi cha pisha iliamua kua cha kuvi cha pisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvi cha pisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu.

In this important work, Shaaban Robert gives guidelines for authors and poets on versification, but also on pre-requisites to good writing.
Visa hela texten

Passar bra ihop

  1. Kielezo cha Fasili
  2. +
  3. Harusi ya Dogoli

De som köpt den här boken har ofta också köpt Harusi ya Dogoli av Athumani B Mauya (häftad).

Köp båda 2 för 706 kr

Kundrecensioner

Har du läst boken? Sätt ditt betyg »

Fler böcker av Shaaban Robert

Övrig information

Shaaban Robert kwa lugha ya Kiswahili ni sawa na Shakespeare kwa lugha ya Kiingereza. Akikubalika kama msahiri wa taifa, vitabu vyake daima vimekuwa kipimo cha juu cha uhondo wa lugha, usafi wa nia na hekima kutokana na utamaduni hususan wa Kiafrika na Waswahili lakini pia kwa jnsi alivyoelewa na kusheshimu tamadui nyingine. Katika vitabu vyake Kusadikika ndicho maarufu kushinda vyote. Hii ni hadithi ya kiistara juu ya nchi ambako dhulma inatawala kinyume na haki, sheria na utu. Kitabu kilichapishwa wakati ukoloni umetanda nchini Tanzania.